Kwenye mwezi wa sita hivi tarehe 14, kulitokea ugomvi kwenye w.i.p night club new york city na kurushiana vitu pamoja na chupa kwa wasanii wakubwa Marekani, Sasa uongozi wa wa hiyo club imewasue DRAKE na CHRISS BREEZY kiasi cha dolla za kimarekani $16 milion,kwa uharibifu.