Kama
nimfatiliaje mzuri wa habari za mziki Africa Mashariki basi utakuwa na
ufahamu kidogo kuhusu Rapper Abbas Kubaff na beef aliyokuwa nayo na
Rapper Chiwawa ambayo ilihitimishwa kupitia mashindano ya mitindo huru
na mshindi alijulikana .Baada ya beef hiyo Abbas alitulia sana na kurudi
na kishindo kupitia wimbo wake wa Tokelezea aliomshirikisha chantelle
.Baada ya kukuambia yote hayo fahamu kwamba Abbas Kwa sasa yupo kwenye
tour ndefu ulaya na siku chache zilizo pita alifanya show iliyo andaliwa
na Rapper K-Nel ,Baada ya show hio Abbas kubaff aliandika kwenye
ukurasa wake wa Facebook kwa mara ya kwanza toka ameingia Ujerumani kuwa
wasanii wawe makini na mapromota feki wanaowapa wasani deal fake na
kutowapa pesa zao. Abbas aliendelea kusema kuwa yeye ni msanii wa HipHop
kwahio lazima ajilinde yeye kwanza na kusambaza habari hii ni wajibu
wake .Hii ndio post ya Abbas Kubaff Kwenye Facebook kuhusu Jambo hili.
Watu walitegemea maneno makali kuhusu Abbas lakini K-Nel aliandika hii kwenye mtandao
"I LOVE THE NEGATIVE TALK, THE CONTROVERSY SOME FEW HEADS ARE PERPETRATING. AM RELEASING AN OFFIAL VIDEO IN LESS THAN 48 HOURS"
"In my #anglohili World we strongly don't entertain Controversy. Silence is a lethal killer weapon. Let him fight his own war."
"Before I call it a night, I wanna Thank all those who Been texting me positive messages The Whole Day, ma #anglohili Fans. Am so inspiredddddd!"
No comments:
Post a Comment